Swali: Je, inafaa kuswali swalah ya jeneza wakati uliokatazwa kwa sababu watu wengi wanaswali baada ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Ndio, kwa sababu wakati uliokatazwa baada ya ´Aswr ni mrefu na maiti anaweza kudhurika. Kwa hivyo inafaa kuswali swalah ya jeneza baada ya ´Aswr na baada ya Fajr kwa sababu ni wakati mrefu. Jeneza lisizuiwe. Bali waswaliwe swalah ya jeneza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 28/09/2019
Swali: Je, inafaa kuswali swalah ya jeneza wakati uliokatazwa kwa sababu watu wengi wanaswali baada ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Ndio, kwa sababu wakati uliokatazwa baada ya ´Aswr ni mrefu na maiti anaweza kudhurika. Kwa hivyo inafaa kuswali swalah ya jeneza baada ya ´Aswr na baada ya Fajr kwa sababu ni wakati mrefu. Jeneza lisizuiwe. Bali waswaliwe swalah ya jeneza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 28/09/2019
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-jeneza-wakati-uliokatazwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket