118 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali bila kuosha sehemu zake za siri baada ya kutokwa na madhiy?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya hilo, kisha akaeleza kuwa sahihi ni wajibu kuyaosha na kurudia swalah upya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
- Imechapishwa: 18/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Anahisi kutokwa na madhiy wakati wa swalah
Swali: Mimi ni mwanamme ninayetokwa na madhiy sana. Wakati mwingine hutawadha na nikaingia ndani ya swalah na nikahisi madhiy kwenye nguo yangu; wakati fulani inakuwa kabla ya swalah, wakati mwingine baada yake na wakati mwingine katikati ya swalah. Ni ipi hukumu ya madhiy haya kwenye nguo yangu? Nifanye nini yakiwa…
In "Najisi na uchafu"
Je, kutokwa na madhiy kunalazimisha kuoga?
Swali: Je, kutokwa na madhiy kunalazimisha kuoga? Jibu: Kutokwa na madhiy hakulazimishi kuoga. Lakini kunawajibisha kutawadha baada ya kuosha uume na uke anapotaka kuswali, kutufu au kugusa msahafu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa juu yake alisema kuwa mtu anatakiwa kutawadha na akamwamrisha aliyepatwa na madhiy aoshe…
In "Manii, madhiy na wadiy"
Swawm imeharibika baada ya kutaniatania na mke kutokwa na madhiy?
Swali: Siku moja wapo ya Ramadhaan nilikuwa nimekaa pembezoni na mke wangu ilihali sote tumefunga. Nilikaa naye karibu nusu saa ambapo tulikuwa tukifanyiana mzaha. Baada ya kutoka pale nikakuta kwenye suruwali yangu tone la majimaji limetoka kwenye dhakari yangu. Jambo hilo lilijikariri kwa mara ya pili. Naomba unifaidishe: je, nawajibika…
In "Fatwa juu ya mambo yanayoharibu swawm na mengineyo"