118 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali bila kuosha sehemu zake za siri baada ya kutokwa na madhiy?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya hilo, kisha akaeleza kuwa sahihi ni wajibu kuyaosha na kurudia swalah upya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
- Imechapishwa: 18/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)