118 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali bila kuosha sehemu zake za siri baada ya kutokwa na madhiy?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya hilo, kisha akaeleza kuwa sahihi ni wajibu kuyaosha na kurudia swalah upya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
- Imechapishwa: 18/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
118 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mtu aliyeswali bila kuosha sehemu zake za siri baada ya kutokwa na madhiy?
Jibu: Kuna maoni tofauti juu ya hilo, kisha akaeleza kuwa sahihi ni wajibu kuyaosha na kurudia swalah upya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
Imechapishwa: 18/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-ambaye-hakuosha-tupu-yake-baada-ya-kutokwa-na-madhiy/