195 – Nilimuuliza Shaykh wetu: Ujumla wa Hadiyth isemayo:
”Baina ya kila adhaana mbili kuna swalah.”
inamuhusu msafiri pia?
Jibu: Si jambo liko mbali; kama Rak´ah mbili za wudhuu´ ambazo zinatokana na sababu[1].
196 – Akaulizwa tena kuhusu Hadiyth isemayo:
”Baina ya kila adhaana mbili kuna swalah.”?
Jibu: Dhahiri ni kwamba ni kama swalah za Rawaatib. Kwa hiyo haziswaliwi safarini.
[1] Nimemsikia Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn akisema hapana, kwa sababu ni katika aina ya Rawaatib.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 85
- Imechapishwa: 19/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
195 – Nilimuuliza Shaykh wetu: Ujumla wa Hadiyth isemayo:
”Baina ya kila adhaana mbili kuna swalah.”
inamuhusu msafiri pia?
Jibu: Si jambo liko mbali; kama Rak´ah mbili za wudhuu´ ambazo zinatokana na sababu[1].
196 – Akaulizwa tena kuhusu Hadiyth isemayo:
”Baina ya kila adhaana mbili kuna swalah.”?
Jibu: Dhahiri ni kwamba ni kama swalah za Rawaatib. Kwa hiyo haziswaliwi safarini.
[1] Nimemsikia Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn akisema hapana, kwa sababu ni katika aina ya Rawaatib.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 85
Imechapishwa: 19/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/swalah-kila-baina-ya-adhaana-na-iqaamah-kwa-msafiri/