Swali: Baadhi ya watu wanasema ikiwa mtu amekosa swalah ya Dhuhr kisha akaikumbuka usiku, basi asilipe isipokuwa wakati wa Dhuhr ukifika?
Jibu: Hapana, ni kosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Hakuna cha kuongezwa baada ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Anajengea hoja kwa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika Allaah anayo matendo ya mchana asiyoyakubali usiku…”?
Jibu: Hapana, maneno haya ni batili. Ni kufananisha visivyofanana. Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yako wazi:
“Mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”
[1]al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31574/ما-صحة-القول-بقضاء-الصلاة-في-نفس-وقتها
- Imechapishwa: 07/11/2025
Swali: Baadhi ya watu wanasema ikiwa mtu amekosa swalah ya Dhuhr kisha akaikumbuka usiku, basi asilipe isipokuwa wakati wa Dhuhr ukifika?
Jibu: Hapana, ni kosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Hakuna cha kuongezwa baada ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Anajengea hoja kwa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika Allaah anayo matendo ya mchana asiyoyakubali usiku…”?
Jibu: Hapana, maneno haya ni batili. Ni kufananisha visivyofanana. Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yako wazi:
“Mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”
[1]al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31574/ما-صحة-القول-بقضاء-الصلاة-في-نفس-وقتها
Imechapishwa: 07/11/2025
https://firqatunnajia.com/swalah-hailipwi-ukitoka-wakati-wake-mpaka-ufike-wakati-wake-siku-ya-pili/