Swali: Miongoni mwa mambo yaliyopendekezwa wakati wa kutawadha ni kutumia Siwaak. Inatakiwa iwe kabla ya kutawadha au wakati wa kusukutua kinywa?
Jibu: Yote mawili. Anaweza kufanya hivo kabla ya kutawadha na wakati wa kusukutua kunywa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 18/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket