al-Ikhwaan na Jamaa´at-ut-Tabliygh sio katika watu wenye mfumo ulio sahihi. Hakika makundi yote na majina hayana msingi kwa Salaf wa Ummah huu. Kundi la kwanza lililozusha na likabeba jina ni kundi la Shiy´ah ambao walijiita ´Shiy´ah`. Kuhusu Khawaarij hakuwa wakijiita zaidi ya jina la ´waumini`.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 424
- Imechapishwa: 19/01/2020
al-Ikhwaan na Jamaa´at-ut-Tabliygh sio katika watu wenye mfumo ulio sahihi. Hakika makundi yote na majina hayana msingi kwa Salaf wa Ummah huu. Kundi la kwanza lililozusha na likabeba jina ni kundi la Shiy´ah ambao walijiita ´Shiy´ah`. Kuhusu Khawaarij hakuwa wakijiita zaidi ya jina la ´waumini`.
Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 424
Imechapishwa: 19/01/2020
https://firqatunnajia.com/sio-wenye-mfumo-ulio-sahihi/