Swali: Mtu mwenye kuhamahama kati ya miji miwili ambayo masafa yake ni kilomita 100. Lakini hata hivyo haizingatiwi kuwa safari kwa wakazi wa miji hiyo. Je, atendee kazi desturi…
Jibu: Hukumu hazikufungamana na wakazi wa miji; hukumu imefungamana na Shari´ah. Yule mwenye kusafiri kilomita zisizopungua 80 basi ni msafiri na hivyo atendee kazi hukumu za safari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 26/11/2019
Swali: Mtu mwenye kuhamahama kati ya miji miwili ambayo masafa yake ni kilomita 100. Lakini hata hivyo haizingatiwi kuwa safari kwa wakazi wa miji hiyo. Je, atendee kazi desturi…
Jibu: Hukumu hazikufungamana na wakazi wa miji; hukumu imefungamana na Shari´ah. Yule mwenye kusafiri kilomita zisizopungua 80 basi ni msafiri na hivyo atendee kazi hukumu za safari.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 26/11/2019
https://firqatunnajia.com/sio-wakazi-wa-miji-ndio-wenye-kuamua/