Swali: Kufuta shingo wakati wa kutawadha sio jambo lililopendekezwa? Kwa sababu ni jambo linalofanana na mayahudi kama nilivyosikia.
Jibu: Ndio, haikupendekezwa. Wala haikuwekwa katika Shari´ah kupangusa shingo. Kinachopanguswa ni kichwa na masikio mawili peke yake. Hivo ndivo imefahamisha Qur-aan na Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/102)
- Imechapishwa: 13/08/2021
Swali: Kufuta shingo wakati wa kutawadha sio jambo lililopendekezwa? Kwa sababu ni jambo linalofanana na mayahudi kama nilivyosikia.
Jibu: Ndio, haikupendekezwa. Wala haikuwekwa katika Shari´ah kupangusa shingo. Kinachopanguswa ni kichwa na masikio mawili peke yake. Hivo ndivo imefahamisha Qur-aan na Sunnah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/102)
Imechapishwa: 13/08/2021
https://firqatunnajia.com/sio-sunnah-kupangusa-shingo-wakati-wa-kutawadha/