Siijui na wala sifikirii kuwa ni Swahiyh

Swali: Ni ipi daraja ya Hadiyth inayosema kwamba mmoja wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anh) alipita kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiwa na vipimo vitatu vya ngano ili ampe dada yake ambaye mume wake amefariki na ana watoto mayatima, kisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akatabasamu na kusema kwamba alikuwa amebakiwa na siku tatu za kuishi lakini kwa sababu ya kumfanyia wema dada yake, basi Allaah akaongeza umri wake miaka thelathini – kwa kila kipimo miaka kumi? Ni upi usahihi wa haya?

Jibu: Sijui Hadiyth hii wala siifahamu. Sidhani kuwa ni Swahiyh.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3319/درجة-حديث-انه-بقي-في-اجله-ثلاثة-ايام-وبسبب-صلته
  • Imechapishwa: 13/08/2026