Inatakikana kwa mtu asiyekuwa asiyejishughulisha na mambo ya elimu kutomuuliza Muftiy dalili. Wala haifai kwake kusema: “Kwa nini umesema.. ?”
Kama atapenda kuituliza nafsi yake kwa kusikiliza dalili, basi aitafute [kutoka kwa mwanachuoni huyo] katika kikao kingine au katika kikao hichohicho lakini baada ya kuwa ameshakubali hiyo fatwah kavu.
- Muhusika: Imaam Yahyaa bin Sharaf an-Nawawiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-ul-Fatwaa, uk. 85
- Imechapishwa: 29/12/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)