Swali: Je, mtu anapewa udhuru kwa hadaa hizi za ki-Shaytwaan kwa sababu anaonelea ya kwamba mwelekeo fulani ndio haki inayopaswa kufuatwa na kwa ajili hiyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru kwa ujinga wake?
Jibu: Hapana, hapewi udhuru kwa ujinga wake. Ni lazima afuate haki na madhehebu ya Salaf na kushikamana na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Hapewi udhuru kwa hilo. Hana haki ya kusema kuwa amefikia katika hili na lile.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2020
Swali: Je, mtu anapewa udhuru kwa hadaa hizi za ki-Shaytwaan kwa sababu anaonelea ya kwamba mwelekeo fulani ndio haki inayopaswa kufuatwa na kwa ajili hiyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru kwa ujinga wake?
Jibu: Hapana, hapewi udhuru kwa ujinga wake. Ni lazima afuate haki na madhehebu ya Salaf na kushikamana na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Hapewi udhuru kwa hilo. Hana haki ya kusema kuwa amefikia katika hili na lile.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 03/05/2020
https://firqatunnajia.com/si-haki-kwa-yeyote-kuacha-madhehebu-ya-salaf-na-kushika-njia-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket