Swali: Je, Allaah anasamehe shirki?
Jibu: Anaisamehe kwa kutubia. Haisamehi isipokuwa kwa kutubia. Kuhusu mwenye kufa pasi na kutubia Allaah hamsamehi:
“Mwenye kukutana na Allaah hali ya kutomshirikisha na chochote ataingia Peponi. Na mwenye kukutana naye hali ya kumshirikisha na chochote ataingia Motoni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (129) na Muslim (93).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 28/10/2018
Swali: Je, Allaah anasamehe shirki?
Jibu: Anaisamehe kwa kutubia. Haisamehi isipokuwa kwa kutubia. Kuhusu mwenye kufa pasi na kutubia Allaah hamsamehi:
“Mwenye kukutana na Allaah hali ya kutomshirikisha na chochote ataingia Peponi. Na mwenye kukutana naye hali ya kumshirikisha na chochote ataingia Motoni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (129) na Muslim (93).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 28/10/2018
https://firqatunnajia.com/shirki-inasamehewa-namna-hii/