Swali: Kuna mtu alikuwa na kafara kubwa ya kufunga miezi miwili mfululizo. Baada ya kuyafunga akafanya mwaliko mkubwa. Je, yanamdhuru?
Jibu: Hakuna neno. Anafurahi kutekeleza yale yaliyokuwa ni wajibu kwake. Ni aina ya furaha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 19/09/2017
Swali: Kuna mtu alikuwa na kafara kubwa ya kufunga miezi miwili mfululizo. Baada ya kuyafunga akafanya mwaliko mkubwa. Je, yanamdhuru?
Jibu: Hakuna neno. Anafurahi kutekeleza yale yaliyokuwa ni wajibu kwake. Ni aina ya furaha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 19/09/2017
https://firqatunnajia.com/sherehe-baada-ya-kutekeleza-kafara/