Swali: Kuna mtu alikuwa na kafara kubwa ya kufunga miezi miwili mfululizo. Baada ya kuyafunga akafanya mwaliko mkubwa. Je, yanamdhuru?
Jibu: Hakuna neno. Anafurahi kutekeleza yale yaliyokuwa ni wajibu kwake. Ni aina ya furaha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 19/09/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)