Nilimweleza baba yangu kwamba hutumia maji mengi wakati wa kutawadha. Akanikataza jambo hilo na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Inasemekana kwamba wudhuu´ unao shaytwaan kwa jina Walhaan.”
Alisema hivo mara nyingi kunambia. Alinikataza kutumia maji mengi na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Punguza maji!”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/108)
- Imechapishwa: 30/01/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)