Nilimweleza baba yangu kwamba hutumia maji mengi wakati wa kutawadha. Akanikataza jambo hilo na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Inasemekana kwamba wudhuu´ unao shaytwaan kwa jina Walhaan.”
Alisema hivo mara nyingi kunambia. Alinikataza kutumia maji mengi na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Punguza maji!”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/108)
- Imechapishwa: 30/01/2021
Nilimweleza baba yangu kwamba hutumia maji mengi wakati wa kutawadha. Akanikataza jambo hilo na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Inasemekana kwamba wudhuu´ unao shaytwaan kwa jina Walhaan.”
Alisema hivo mara nyingi kunambia. Alinikataza kutumia maji mengi na kusema:
“Mwanangu kipenzi! Punguza maji!”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/108)
Imechapishwa: 30/01/2021
https://firqatunnajia.com/shaytwaan-kwa-jina-walhaan/