Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwenye kuuliwa kwa sababu ya kumtetea mwanamke wake amekufa shahidi.”
Hapa anakusudiwa mke wa mtu…
Jibu: Hapana. Anakusudiwa mke wake na wanawake wengine wote, akiwemo dada yake, shangazi yake na mama yake mdogo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 05/07/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwenye kuuliwa kwa sababu ya kumtetea mwanamke wake amekufa shahidi.”
Hapa anakusudiwa mke wa mtu…
Jibu: Hapana. Anakusudiwa mke wake na wanawake wengine wote, akiwemo dada yake, shangazi yake na mama yake mdogo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 05/07/2024
https://firqatunnajia.com/shahidi-anayemtetea-mwanamke-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)