Swali 176: Je, inajuzu kuunganisha ´Aswr na swalah ya ijumaa?
Jibu: Hapana. Salama zaidi ni kuacha hilo, kwani hatukuhifadhi kutoka kwa yeyote miongoni mwa Salaf kuwa alifanya hivyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 75
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 176: Je, inajuzu kuunganisha ´Aswr na swalah ya ijumaa?
Jibu: Hapana. Salama zaidi ni kuacha hilo, kwani hatukuhifadhi kutoka kwa yeyote miongoni mwa Salaf kuwa alifanya hivyo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 75
Imechapishwa: 04/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/salama-ni-kutofanya-hivo/