Swali: Inajuzu kwa muislamu kusafiri kwenda katika miji ya makafiri kwa ajili tu ya utalii?
Jibu: Hapana. Asisafiri kwenda katika miji ya mafiri isipokuwa kwa ajili ya biashara, matibabu au kulingania katika dini ya Allaah – kisha arudi. Ama kwenda tu na kubaki huko haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Inajuzu kwa muislamu kusafiri kwenda katika miji ya makafiri kwa ajili tu ya utalii?
Jibu: Hapana. Asisafiri kwenda katika miji ya mafiri isipokuwa kwa ajili ya biashara, matibabu au kulingania katika dini ya Allaah – kisha arudi. Ama kwenda tu na kubaki huko haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/safari-zinazojuzu-kwenda-katika-miji-ya-makafiri/