Swali: Mnamo siku za karibuni ´Abdul-Haadiy al-´Umayriy atawajia wanawake na kuwatolea muhadhara. Unawanasihi nini ndugu zetu Salafiyyuun wa Indonesia?
Jibu: Mimi nawashauri wasimwendee mtu huyu na kumsikiliza mpaka pale atapojirudi kuwasapoti wale wanaokwenda kinyume na mfumo wa Salaf.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=LRv0JaFwiFU
- Imechapishwa: 31/03/2017
Swali: Mnamo siku za karibuni ´Abdul-Haadiy al-´Umayriy atawajia wanawake na kuwatolea muhadhara. Unawanasihi nini ndugu zetu Salafiyyuun wa Indonesia?
Jibu: Mimi nawashauri wasimwendee mtu huyu na kumsikiliza mpaka pale atapojirudi kuwasapoti wale wanaokwenda kinyume na mfumo wa Salaf.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=LRv0JaFwiFU
Imechapishwa: 31/03/2017
https://firqatunnajia.com/rabiy-al-madkhaliy-kuhusu-abdul-haadiy-al-umayriy/