Swali: Inasemwa kuwa wewe umesema kuwa Twaariq as-Suwaydaan ni zindiki. Je, ni kweli?
Jibu: Hapana, sikusema hivyo. Ninasema tu kuwa ni mpotevu mzushi. Sikusema kuwa ni zindiki. Sikusema hivyo kwa watu ambao ni wapotevu zaidi kuliko yeye. Kama ilivyotangulia kusema hivo.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (2/213-214)
- Imechapishwa: 28/07/2020
Swali: Inasemwa kuwa wewe umesema kuwa Twaariq as-Suwaydaan ni zindiki. Je, ni kweli?
Jibu: Hapana, sikusema hivyo. Ninasema tu kuwa ni mpotevu mzushi. Sikusema kuwa ni zindiki. Sikusema hivyo kwa watu ambao ni wapotevu zaidi kuliko yeye. Kama ilivyotangulia kusema hivo.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (2/213-214)
Imechapishwa: 28/07/2020
https://firqatunnajia.com/rabiy-al-madkhaliy-anamkufurisha-as-suwaydaan/