Swali: Ni upi usahihi juu ya maoni yanayosema kufaa kukunuti wakati wa majanga kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakukunuti baada ya Qunuut yake juu ya wale Maswahabah wake waliowaua Maswahabah zake katika kisima cha Ma´uunah?
Jibu: Maoni yanayokataza yanahitaji dalili. Kimsingi ni kutokuweko makatazo mpaka kupatikane dalili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 08/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)