Swali: Ni upi usahihi juu ya maoni yanayosema kufaa kukunuti wakati wa majanga kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakukunuti baada ya Qunuut yake juu ya wale Maswahabah wake waliowaua Maswahabah zake katika kisima cha Ma´uunah?
Jibu: Maoni yanayokataza yanahitaji dalili. Kimsingi ni kutokuweko makatazo mpaka kupatikane dalili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 08/08/2021
Swali: Ni upi usahihi juu ya maoni yanayosema kufaa kukunuti wakati wa majanga kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakukunuti baada ya Qunuut yake juu ya wale Maswahabah wake waliowaua Maswahabah zake katika kisima cha Ma´uunah?
Jibu: Maoni yanayokataza yanahitaji dalili. Kimsingi ni kutokuweko makatazo mpaka kupatikane dalili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 08/08/2021
https://firqatunnajia.com/qunuut-wakati-wa-majanga/