Swali: Je, imewekwa katika Shari´ah wakati wa matukio ya majanga imamu kusoma Qunuut katika swalah za kusoma kimyakimya kama katika Dhuhr na ´Aswr? Katika hali hiyo asome kwa sauti?
Jibu: Asome hivo katika kila swalah; swalah za mchana na za usiku.
Swali: Je, asome kwa sauti?
Jibu: Ikiwa wanaswali kwa mkusanyiko asome kwa sauti. Baada ya hapo na wao watasema “Aamiyn”. Hata hivyo mtu ikiwa anaswali peke yake asisome kwa sauti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Je, imewekwa katika Shari´ah wakati wa matukio ya majanga imamu kusoma Qunuut katika swalah za kusoma kimyakimya kama katika Dhuhr na ´Aswr? Katika hali hiyo asome kwa sauti?
Jibu: Asome hivo katika kila swalah; swalah za mchana na za usiku.
Swali: Je, asome kwa sauti?
Jibu: Ikiwa wanaswali kwa mkusanyiko asome kwa sauti. Baada ya hapo na wao watasema “Aamiyn”. Hata hivyo mtu ikiwa anaswali peke yake asisome kwa sauti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/qunuut-katika-swalah-za-mchana-za-kusoma-kimyakimya/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket