Swali: Ni ipi hukumu ya kukunuti katika swalah za faradhi? Ni ipi hukumu kukiwafikia waislamu majanga?
Jibu: Kufanya Qunuut katika swalah za faradhi ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Haitakikani kufanya hivo. Lakini imamu akileta Qunuut mfuate kwa sababu tofauti ni shari.
Waislamu wakifikwa na maafaa basi hapo ni sawa kufanya Qunuut kwa ajili ya kumuomba Allaah (Ta´ala) ayaondoshe.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 351
- Imechapishwa: 31/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kukunuti katika swalah za faradhi? Ni ipi hukumu kukiwafikia waislamu majanga?
Jibu: Kufanya Qunuut katika swalah za faradhi ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Haitakikani kufanya hivo. Lakini imamu akileta Qunuut mfuate kwa sababu tofauti ni shari.
Waislamu wakifikwa na maafaa basi hapo ni sawa kufanya Qunuut kwa ajili ya kumuomba Allaah (Ta´ala) ayaondoshe.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 351
Imechapishwa: 31/05/2019
https://firqatunnajia.com/qunuut-katika-swalah-za-faradhi/