Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 14

15:00

Ni ipi hukumu ya anayeswali faradhi kwa kuketi ilihali anaweza kusimama?

  • Inafaa kwake kusimama katika zile Rak'ah 2 za mwisho peke yake

Ni kipi katika haya ni mojawapo ya sharti za swalah?

  • Kuondosha hadathi (kutawadha)

Ni ipi hukumu ya anayeswali na makalio yake yanaonekana wakati wa kusujudu na kurukuu?

  • Kufunika uchi ni mojawapo ya sharti za swalah na hivyo kunakhofiwa swalah yake isikubaliwe

Je, maamuma warudie swalah ya imamu ambaye baada ya swalah amekumbuka hakutawadha?

  • Maamuma ndio watarudia na si maamuma

Ni kipi kilichosihi katika haya?

  • Swalah ndio nguzo ya Uislamu

Ni ipi hukumu ya mwanaume kuswali na suruwali?

  • Vazi pekee la swalah ni kanzu

Je, maamuma warudie swalah ya imamu ambaye baada ya swalah amekumbuka ameswali na nguo najisi?

  • Imamu tu ndiye atarudia na si maamuma

Ni kipi kilichosihi katika haya?

  • Swalah bora ya mwanamke ni akiwa amejisitiri

Ni ipi hukumu ya kuswali shambani na vipi kuhusu usafi wake?

  • Inafaa kwa.s msingi ni kufaa kuswali maeneo kote

Ni kipi katika haya ni mojawapo ya nguzo za swalah?

  • Kuangalia mahali pa kusujudia

Ni ipi hukumu ya kuswali na nguo za kazi zilizo chafu?

  • Inafaa muhimu zisiwe na najisi

Ni ipi hukumu ya mfungwa ambaye mahali alipofungwa ni najisi na hana ruhusa ya kutoka nje kuswali?

  • Aswali kwa hali yoyote na si ruhusa kwake kuacha swalah

Ni ipi hukumu ya anayeswali bila ya kukimu swalah?

  • Lazima kukimu na la sivyo swalah ina mapungufu

Ni ipi hukumu ya anayekosa swalah tatu za ijumaa kwa mfululizo?

  • Amekufuru

Ni ipi hukumu ya msichana kuswali kichwa wazi?

  • Inafaa kuswali namna hiyo katika swalah ya Sunnah peke yake

Je, inafaa kupangusa juu ya viatu?

  • Akifanya hivo swalah haisihi

Ni ipi hukumu ya swalah ya mswaliji asiyenyanyua mikono juu wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam?

  • Ni nguzo kunyanyua tu katika swalah za faradhi na si za Sunnah

Ni ipi hukumu ya mwanaume kuswali na mavazi ya kubana?

  • Inafaa kwa mwanaume na si kwa mwanamke

Imesuniwa kwa mwanamke anayeswali peke yake kutoa adhaana na kukimu kwa ajili ya kuswali?

  • Lazima kwa mwanamke kabla ya kuswali aadhini na kukimu

Ni lini mtu anazingatiwa ameiwahi swalah ya ijumaa?

  • Atakapowahi Tashahhud katika Rak´ah ya pili

Ni nani katika hawa ana haki zaidi ya kutoa adhaana?

  • Ambaye ana sauti kubwa inayofika mbali zaidi

Ni kipi kilichosihi katika haya kuhusu swalah ya Mtume?

  • Swalah ndio ufumbuzi wa kila tatizo