Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 11

15:00

Ni ipi hukumu ya kuomba kinga dhidi ya shaytwaan kabla ya kusoma Suurah na ni katika kila Rakah?

Vipi wudhuu wa ambaye amegusa au amekanyaga kinyesi au mkojo?

Ni ipi hukumu ya kurukuu kabla ya kufika kwenye safu kwa ajili ya kuwahi Rakah?

Je, aje kuswali msikitini ambaye ananuka vitunguu saumu na vitunguu maji?

Ni ipi hukumu ya mwanaume kufunika kichwa wakati wa kuswali?

Je, kuna Dhikr maalum inayosomwa wakati wa sujuud ya kisomo?

Ni ipi hukumu ya kuomba kinga dhidi ya shaytwaan wakati wa kuswali na ni lini?

Ni ipi hukumu ya mtu kutilia shaka swalah yake baada ya kumaliza?

Je, inafaa kuswali nyuma ya muislamu ambaye mtu hajui itikadi yake?

Ni yepi malipo ya anayetembea kwa miguu kwenda msikitini?

Ni ipi hukumu imamu kuchanganya visomo vingi (katika vile visomo 7) katika swalah moja?

Ni ipi hukumu ya kufanya nyuradi kwa pete ya kidole?

Nini anachofanya mtu ambaye amepitwa na swalah ya jeneza nyumbani kwa maiti au msikitini?

Ni swalah ipi katika hizi isiyokuwa na Rukuu wala Sujuud?

Ni Sunnah kusoma Suurah zipi katika swalah ya Fajr siku ya ijumaa?

Ni ipi hukumu ya kukimbia msikitini kwa ajili ya kuwahi Rakah?

Nifanye nini wakati imamu anaporukuu na sijamaliza kusoma al-Faatihah?

Je, inafaa kuswali kwenye udongo, mchanga au nyasi ambazo mtu hajui usafi wake?

Je, inafaa kwa mwanamke kumswalia maiti?

Ni ipi hukumu ya anayekusanya swalah zaidi ya moja wakati anaporudi kutoka kazini?

Swalah ya jeneza ina Takbiyr ngapi?

Ni ipi hukumu ya kufanya Tawarruk?