Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 11

15:00

Ni ipi hukumu ya kufanya Tawarruk?

  • Ni lazima la sivyo swalah haisihi

Swalah ya jeneza ina Takbiyr ngapi?

  • 4

Ni Sunnah kusoma Suurah zipi katika swalah ya Fajr siku ya ijumaa?

  • as-Sajdah na al-Mulk

Je, aje kuswali msikitini ambaye ananuka vitunguu saumu na vitunguu maji?

  • Ana udhuru wa kuswali nyumbani maadamu hajakusudia kukwepa swalah ya mkusanyiko

Ni ipi hukumu ya kukimbia msikitini kwa ajili ya kuwahi Rakah?

  • Haifai kama tu ni swalah ya faradhi
  • Hapana ubaya wowote kufanya hivo

Vipi wudhuu wa ambaye amegusa au amekanyaga kinyesi au mkojo?

  • Wudhuu´ wake anaweza kuuswalia swalah za sunnah
  • Umechenguka

Ni ipi hukumu ya anayekusanya swalah zaidi ya moja wakati anaporudi kutoka kazini?

  • Sahihi ni kwamba swalah zake hazikubaliwi na kunakhofiwa juu yake ukafiri
  • Swalah zake zinasihi na hapana vibaya

Je, inafaa kuswali kwenye udongo, mchanga au nyasi ambazo mtu hajui usafi wake?

  • Swalah haisihi ila kwenye mkeka tu
  • Msingi wa ardhi yote ni safi na hivyo inasihi

Ni yepi malipo ya anayetembea kwa miguu kwenda msikitini?

  • Anafutiwa madhambi 10 kwa kila hatua anayopiga
  • Kwa kila hatua anafutiwa kosa na kupandishwa daraja

Ni ipi hukumu ya kuomba kinga dhidi ya shaytwaan kabla ya kusoma Suurah na ni katika kila Rakah?

  • Ni katika kila Rak'ah na hana swalah asipofanya hivo
  • Ni lazima kwa imamu tu na si maamuma

Ni ipi hukumu ya mwanaume kufunika kichwa wakati wa kuswali?

  • Ni wajibu la swalah haisihi
  • Ni katika masharti ya kukubaliwa swalah

Ni ipi hukumu ya kuomba kinga dhidi ya shaytwaan wakati wa kuswali na ni lini?

  • Ni Sunah, inakuwa kabla ya du'aa ya kufungulia swalah na kabla ya Basmalah
  • Ni nguzo ya swalah na swalah haisihi mtu akiiacha

Ni ipi hukumu ya kurukuu kabla ya kufika kwenye safu kwa ajili ya kuwahi Rakah?

  • Ni sawa kwa.s ni kupupia katika mambo ya kheri
  • Inafaa kwa.s Swahabah Abu Bakrah alifanya hivo

Nini anachofanya mtu ambaye amepitwa na swalah ya jeneza nyumbani kwa maiti au msikitini?

  • Ameshaikosa na hakuna namna
  • Ataenda kumswalia makaburini kama tu ni Shaykh au mtu mwema

Je, inafaa kuswali nyuma ya muislamu ambaye mtu hajui itikadi yake?

  • Hapana, usiswali nyuma ya mtu mpaka ujue itikadi yake
  • Inafaa tu kuswali nyuma yake kama ni mtawala wa kiislamu

Ni ipi hukumu ya mtu kutilia shaka swalah yake baada ya kumaliza?

  • Airudi swalah yake
  • Atawadhe na aswali tena kwa unyenyekevu

Nifanye nini wakati imamu anaporukuu na sijamaliza kusoma al-Faatihah?

  • Simama ulipoishilia na umfuate imamu
  • Swalah yako haisihi na lazima uswali tena

Ni ipi hukumu ya kufanya nyuradi kwa pete ya kidole?

  • Bid'ah
  • Ni kama Subha na hivyo haina neno

Ni ipi hukumu imamu kuchanganya visomo vingi (katika vile visomo 7) katika swalah moja?

  • Ni kuhuisha Sunnah na hivyo imehimizwa
  • Inachukiza kufanya hivo kwani inawashawishi waswaliji

Je, kuna Dhikr maalum inayosomwa wakati wa sujuud ya kisomo?

  • Hapana hakuna. Atasema "Subhaana Rabbiyal A'laa
  • Atasema 'Rabbana walakal hamd"

Je, inafaa kwa mwanamke kumswalia maiti?

  • Inafaa lakini nyumbani kwake tu
  • Ndio, inafaa nyumbani na msikitini

Ni swalah ipi katika hizi isiyokuwa na Rukuu wala Sujuud?

  • Swalah ya jeneza
  • Kusuuf