Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 06

15:00

Ni kipi katika haya ni mojawapo ya nguzo za swalah?

  • Kusema "Allaahu Akbar"
  • Kusema "Aamiyn"

Nini anachotakiwa kufanya aliyepitiwa na usingizi na akaamka wakati jua linapozama?

  • Atasubiri mpaka wakati wa Ishaa
  • Ataswali Dhuhr papohapo

Ni ipi hukumu ya swalah ya aliyesahau kusema (Subhaana Rabbiyal Aalaa)?

  • Hana swalah lazima airudie
  • Atasema tu kilichompita na swalah imesihi

Nini anachotakiwa kufanya aliyepitiwa na usingizi na akaamka wakati jua linapochomoza?

  • Ataswali Far papohapo
  • Atasubiri mpaka wakati wa Dhuhaa

Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya msikiti wenye kaburi?

  • Swalah inasihi tu kama ni kaburi la Mtume
  • Swalah ina mapungufu lakini inasihi

Nini afanye mtu ambaye anataka kufanya tendo la ndoa na hakuna maji au anayo maji madogo ya kumtosha kunywa tu?

  • Akifanya na anajua hakuna maji anapata dhambi
  • Afanye kisha atafanya Tayammum

Ni ipi hukumu ya kuswali Sunnah wakati jua linapinduka (Takrian dakika 20 kabla ya kuingia Dhuhr)?

  • Imekatazwa
  • Inafaa kuswali Dhuhaa peke yake

Ni lini watoto huanza kupigwa wanapokataa kuswali?

  • Miaka 5
  • Miaka 10

Ni kweli kwamba muda wa swalah ya usiku inaanza baada ya Maghrib?

  • Ndio, katika baadhi ya hali
  • Unaanza baada ya 'Ishaa katika hali zote

Ni ipi hukumu ya swalah ya aliyesahau kusema (Subhaana Rabbiyal Adhwiym)?

  • Kama hakujapita kitambo kirefu atasujudu sijda ya kusahau
  • Ataswali swalah nyingine badala yake

Je, inafaa kwa mwanamke kuswali miguu wazi?

  • Hapana, haifai
  • Inafaa tu kama hakuna wanaume wanaomuona

Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu aliyeswali ndani ya msikiti wenye kaburi miaka 2 iliyopita?

  • Swalah inasihi japo ana madhambi
  • Swalah haisihi na lazima aurudie

Kwanini ikakatazwa kuswali Sunnah wakati jua linapochomoza?

  • Kwa.s jua linakuwa kali
  • Ni kujifananisha na waabudia jua

Kwanini imekatazwa kuswali Sunnah wakati jua linapozama?

  • Ni kujifananisha na waabudia jua
  • Kwa.s wakati wake unakuwa umeshapita

Je, inafaa kuswali swalah nyingi kwa twahara ya Tayammum?

  • Ndio
  • Inafaa tu kama ni msafiri

Kwanini ikakatazwa kutamba kwa mifupa?

  • Kwa.s inaumiza
  • Kwa.s ni ina madhara kwenye utupu

Kama imekatazwa kuswali kwa kuliekea kaburi kwanini swalah ya jeneza tunaliekea kaburi na maiti?

  • Inachukiza kufanya hivo
  • Kwa.s malengo ni kumuombea maiti na jengine ni swalah isiyo na Rukuu´ wala Sujuud

Mtu anatakiwa ajisafishe utupu wake kwa mawe yasiyopungua mangapi?

  • 5
  • 2

Ni ipi hukumu ya kuswali kwa kulielekea kaburi?

  • Ni haramu na swalah haisihi
  • Haina neno na swalah inasihi

Ni viungo vingapi katika wudhuu lazima vioshwe na ni vipi?

  • 2, kuosha mikono na miguu
  • 4, kuosha nyuso, mikono mpaka kwenye visugudi, panguseni vichwa na kuosha miguu hadi vifundoni

Inafaa kujisafisha ufupu kwa mifupa?

  • Haifai
  • Inafaa tu wakati umekosa mawe

Ni vipi mwanamke anamzindua imamu anayekosea katika kisomo cha Qur-aan?

  • Kwa kusema "Subhaanallaah"
  • Kwa kupiga makofi