Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 06

15:00

Je, inafaa kuswali swalah nyingi kwa twahara ya Tayammum?

Nini afanye mtu ambaye anataka kufanya tendo la ndoa na hakuna maji au anayo maji madogo ya kumtosha kunywa tu?

Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu aliyeswali ndani ya msikiti wenye kaburi miaka 2 iliyopita?

Ni kweli kwamba muda wa swalah ya usiku inaanza baada ya Maghrib?

Nini anachotakiwa kufanya aliyepitiwa na usingizi na akaamka wakati jua linapozama?

Mtu anatakiwa ajisafishe utupu wake kwa mawe yasiyopungua mangapi?

Kwanini imekatazwa kuswali Sunnah wakati jua linapozama?

Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya msikiti wenye kaburi?

Kwanini ikakatazwa kutamba kwa mifupa?

Ni vipi mwanamke anamzindua imamu anayekosea katika kisomo cha Qur-aan?

Ni ipi hukumu ya swalah ya aliyesahau kusema (Subhaana Rabbiyal Aalaa)?

Je, inafaa kwa mwanamke kuswali miguu wazi?

Kwanini ikakatazwa kuswali Sunnah wakati jua linapochomoza?

Ni ipi hukumu ya swalah ya aliyesahau kusema (Subhaana Rabbiyal Adhwiym)?

Ni ipi hukumu ya kuswali Sunnah wakati jua linapinduka (Takrian dakika 20 kabla ya kuingia Dhuhr)?

Inafaa kujisafisha ufupu kwa mifupa?

Ni kipi katika haya ni mojawapo ya nguzo za swalah?

Ni viungo vingapi katika wudhuu lazima vioshwe na ni vipi?

Nini anachotakiwa kufanya aliyepitiwa na usingizi na akaamka wakati jua linapochomoza?

Ni lini watoto huanza kupigwa wanapokataa kuswali?

Ni ipi hukumu ya kuswali kwa kulielekea kaburi?

Kama imekatazwa kuswali kwa kuliekea kaburi kwanini swalah ya jeneza tunaliekea kaburi na maiti?