Jipime maarifa yako kuhusu ´Aqiydah sahihi
Chemsha Bongo ya ´Aqiydah sahihi
15:00
Ni nani Mtume wa mwisho?
- Ibraahiym
- Muusa
- Muhammad
Je, maneno ya Allaah yanafupilizika juu ya Qur-aan pekee?
- Ndio, maneno pekee ya Allaah ni Qur-aan
- Qur-aan si maneno ya Allaah pekee, Sunnah pia
- Maneno ya Allaah hayana ukomo na hayadhibiwi, Qur-aan si maneno pekee ya Allaah
Ni aina gani ya ´ibaadah kubwa zaidi aliyoamrisha Allaah?
- Swalah
- Swawm
- Upwekeshaji
Ni aina gani ya maasi na dhambi kubwa zaidi aliyokataza Allaah?
- Mauaji
- Ushirikina
- Uzinifu
Je, inafaa kuashiria juu kwa kidole kwamba Allaah yuko juu?
- Ndio
- Hapana
- Ni kosa kubwa kufanya hivo
Ni nani Mtume wako?
- Ibraahiym
- Muusa
- Muhammad
Ni nini maana ya Allaah?
- Mwenye kustahiki kuabudiwa na viumbe wote
- Mwenye nguvu zisizo na kifani
- Mwenye uwezo wa kila jambo
Ni ngapi nguzo za Uislamu?
- 5
- 6
- 10
Allaah yuko wapi?
- Kila mahali
- Yuko juu mbinguni, juu ya ´Arshi
- Ni makosa kuuliza Allaah yuko wapi
Kuna vigawanyo vingapi vya Tawhiyd?
- 3
- 5
- 6
Unafiki umegawanyika aina ngapi?
- Aina kumi
- Aina tano
- Aina mbili
Ni ngapi nguzo za imani?
- 10
- 5
- 6
Ihsaan ni kitu gani?
- Kumwamini Allaah kwa mapenzi
- Kumwabudu Allaah kana kwamba unamuona
- Kumwabudu Allaah kila siku na si kwa msimu
Ni nani Mtume wa kwanza?
- Ibraahiym
- Muusa
- Nuuh
Ni aina zipi za unafiki?
- Unafiki wa swalah na unafiki wa maneno
- Unafiki wa kiimani na unafiki wa kimatendo
- Unafiki wa kimuonekano na unafiki wa swalah
Mtume alitumilizwa kwa Suurah na akawa Nabii kwa Suurah gani?
- al-Baqarah na al-Insaan
- al-Muhaddaththir na Iqraa´
- al-Faatihah na al-Ikhlaasw
Ni dhambi ipi kubwa zaidi ambayo Allaah hamsamehi mwenye kufa juu yake?
- Kula ribaa
- Ushirikina
- Liwati
Ni upi msimamo sahihi wa muislamu juu ya Qur-aan?
- Ni maneno ya Allaah yaliyoteremshwa na si kiumbe
- Mtu anatakiwa kuchukua msimamo wa kusimama na kunyamaza
- Si maneno ya Allaah na ni kiumbe
Mitume walitumilizwa kuwafikishia wafuasi wao aina ipi ya Tawhiyd?
- Tawhiyd ya kuhukumu
- Tawhiyd ya kumwabudu Yeye pekee
- Tawhiyd ya kutambua kuwa Yeye ni Mola
Ni ipi hukumu ya kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah?
- Ni dhambi kama madhambi mengine
- Ni ukafiri
- Hapana vibaya
Ni upi msimamo sahihi juu ya sifa za Allaah zilizotajwa ndani ya Qur-aan na Sunnah?
- Mtu anatakiwa kuzipindisha maana
- Mtu aamini kinyume na dhahiri yake
- Mtu anatakiwa kuziamini kama zilivyokuja, bila ya kuzipotosha, kuzifananisha, kuzikanusha n.k.
Allaah amekuumba kwa ajili ya lengo gani?
- Umwabudu
- Uwasaidie viumbe wake na kuwatendea wema
- Uwe mtu mzuri