Jipime maarifa yako kuhusu Tawhiyd na shirki

Chemsha Bongo masuala ya Tawhiyd na shirki 03

15:00

Kuomba dua kwa Nabii Muhammad baada ya kufa ni nini?

Kufanya ibaadah kwa ajili ya mali au sifa ni nini?

Kuamini kuwa Allaah hastahili kuabudiwa peke yake ni nini?

Kumtanguliza Allaah mbele ya kila jambo ni nini?

Kumchinja mnyama kwa jina la mtu ni nini?

Kusema (nimepata mtoto kwa nguvu zangu) bila kumshukuru Allaah ni nini?

Kusema (bahati imenisaidia) bila kumtaja Allaah ni nini?

Ni ipi hukumu ya kuweka nadhiri kwa walii?

Kufanya ibaadah kwa nia ya kuonekana na watu ni nini?

Kuamini kuwa mtu fulani anaweza kutimiza haja zako zote bila msaada wa Allaah ni nini?

Ni ipi hukumu ya kuwaomba Malaika?

Kumtegemea kikamilifu mtu binafsi kwa riziki ni nini?

Kumsifu mtu hadi kumpa sifa ya kimungu ni nini?

Ni ipi hukumu ya kusema (Allaah anapumzika)?

Kufanya ibaadah yoyote kwa ajili ya kiumbe ni nini?

Kuamini Allaah ana mwana ni nini?

Kusema (bila daktari huyu nisingepona) bila kumtaja Allaah ni nini?

Kuabudu kaburi la mtakatifu ni nini?

Kufanya kazi kwa bidii na huku ukimtegemea Allaah ni nini?

Kumshukuru Allaah kwa kila hali ni nini?

Kuomba dua au msaada kwa mtu aliyefariki kwa imani kuwa anajibu ni nini?

Kumpa Mtume Muhammad sifa za kiungu ni nini?