Jipime maarifa yako kuhusu Tawhiyd na shirki

Chemsha Bongo masuala ya Tawhiyd na shirki

15:00

Shahaadah ina sharti ngapi?

Ni kipi katika haya ni sahihi?

Kuna matarajio ya mtu kusamehewa akikutana na Allaah na madhambi yote pasipo shirki?

Kuigawanya Tawhiyd aina tatu ni kumgawanya Allaah sehemu tatu?

Shahaadah ina nguzo ngapi?

Ni Tawhiyd ipi inayomfanya mtu kuwa muislamu na muhimu zaidi?

Ni zipi katika hizi ni sharti za shahaadah?

Ni ipi haki ya Allaah kubwa zaidi juu ya waja?

Ni zipi katika hizi ni sharti za shahaadah?

Ni yepi yaliyosihi katika haya?

Ni yupi mwenye dhambi kubwa zaidi kati ya anayemzini mama yake na anayejikurubisha kwa majini kwa kuwachinjia kindege?

Ni maneno gani ya mwisho mtu akiyatamka wakati wa kufa anaingia Peponi?

Ni maneno yepi katika haya yenye uzito zaidi kwenye mizani siku ya Qiyaamah?

Ni ipi elimu bora na tukufu zaidi katika hizi?

Ni ipi ilikuwa kauli mbiu ya Mitume wote?

Ni ipi nguzo ya kwanza ya Uislamu?

Ni maneno gani ambayo mtu akiyatamka inasalimika kumwagwa damu yake na kuchukuliwa mali yake?

Ni kipi katika haya ni sahihi?

Ni elimu ipi katika hizi ambazo mwenye kutoijua hapewi udhuru kwayo?

Ni kipi katika haya ni sahihi?

Mtume alikaa Makkah miaka mingapi akiwalingania watu katika Tawhiyd kabla ya jambo jengine lolote?

Ni maneno yepi bora yaliyosemwa na Mtume na Mitume wengine wote kabla yake?