Jipime maarifa yako kuhusu Tawhiyd na shirki
Chemsha Bongo masuala ya Tawhiyd na shirki
15:00
Ni elimu ipi katika hizi ambazo mwenye kutoijua hapewi udhuru kwayo?
- Elimu ya wanaostahiki kupewa zakaah
- Elimu ya kumtambua Allaah
- Elimu ya masuala ya hijjah
Ni ipi elimu bora na tukufu zaidi katika hizi?
- Kusoma Qur-aan
- Kumtambua Allaah kwa majina na sifa Zake
- Kuwa daktari bingwa
Ni maneno yepi katika haya yenye uzito zaidi kwenye mizani siku ya Qiyaamah?
- Subhaana Allaah
- Laa ilaaha illa Allaah
- Alhamduli Allaah
Kuigawanya Tawhiyd aina tatu ni kumgawanya Allaah sehemu tatu?
- Ndio, ni imani ya kikristo
- Hapana, hakuna anayesema hivo ila mjinga
- Ndio, haifai kufanya hivo
Ni maneno gani ambayo mtu akiyatamka inasalimika kumwagwa damu yake na kuchukuliwa mali yake?
- Kumsifu sana
- Kumwamini kwa dhahiri
- Kujiepusha na yale aliyokataza na kukemea
Ni maneno yepi bora yaliyosemwa na Mtume na Mitume wengine wote kabla yake?
- Astaghfirullaah
- Subhaana Allaah
- Laa ilaaha illa Allaah
Ni ipi haki ya Allaah kubwa zaidi juu ya waja?
- Kumpwekesha na kutomshirikisha na chochote
- Kumuheshimu ipasavyo
- Kumtii
Shahaadah ina nguzo ngapi?
- 7
- 2
- 6
Ni zipi katika hizi ni sharti za shahaadah?
- Yakini na ukweli
- kumwamini Allaah na Malaika wake
- Kuamini Mitume na siku ya Mwisho
Ni maneno gani ya mwisho mtu akiyatamka wakati wa kufa anaingia Peponi?
- Astaghfirullaah
- Subhaana Allaah
- Laa ilaaha illa Allaah
Ni zipi katika hizi ni sharti za shahaadah?
- Yakini na ukweli
- Kukanusha na kuthibitisha
- Unyenyekevu na kusadikisha
Ni yepi yaliyosihi katika haya?
- Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah ndio inayomfanya mtu kuwa muislamu
- Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah ndio inamfanya mtu kuwa muislamu
- Tawhiyd maalum na muhimu zaidi ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah
Ni ipi ilikuwa kauli mbiu ya Mitume wote?
- Watendeeni wema wazazi wenu
- Mwabuduni Allaah pekee
- Wasikilizeni na watiini viongozi wenu
Ni kipi katika haya ni sahihi?
- Kafiri mtenda wema ni bora kuliko muislamu muovu
- Kafiri atachomwa kwa kiasi cha madhambi yake kisha atolewe
- Kafiri na mshirkina hana nafasi wala kuingia Peponi
Ni ipi nguzo ya kwanza ya Uislamu?
- Kumwamini Allaah
- Shahaadah
- Kusema ukweli
Ni yupi mwenye dhambi kubwa zaidi kati ya anayemzini mama yake na anayejikurubisha kwa majini kwa kuwachinjia kindege?
- Mwenye kumzidini mama yake
- Anayewachinjia majini
- Yote mawili yanalingana katika ubaya na ukhatari
Mtume alikaa Makkah miaka mingapi akiwalingania watu katika Tawhiyd kabla ya jambo jengine lolote?
- 13
- 25
- 23
Kuna matarajio ya mtu kusamehewa akikutana na Allaah na madhambi yote pasipo shirki?
- Ndio
- Hapana
- Allaah hawezi kumsemehe kama amekufa na madhambi makubwamakubwa
Ni Tawhiyd ipi inayomfanya mtu kuwa muislamu na muhimu zaidi?
- Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah
- Tawhiyd-ul-Asmaa´ was-Swifaat
- Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah
Ni kipi katika haya ni sahihi?
- Pepo imeharamishwa kwa anayekufa juu ya dhambi kubwa
- Moto ameandaliwa kila anayemuasi Allaah
- Pepo imeharamishwa kwa kila kafiri na mshirikina
Ni kipi katika haya ni sahihi?
- Hakuna kafiri atakayekaa Motoni milele
- Hakuna muislamu atakayekaa Motoni milele
- Baadhi ya makafiri watatoka Motoni kwa rehema ya Allaah
Shahaadah ina sharti ngapi?
- 5
- 2
- 6