Jipime maarifa yako kuhusu Qur-aan
Chemsha Bongo kuhusu Qur-aan 07
15:00
Ni Suurah gani inahusu uumbaji wa binadamu kwa tone la maji duni?
- al-Ghaashiyah
- al-Insaan
- al-Naazi´aat
Ni Suurah gani inataja kuwa Allaah amempa kila kiumbe umbo lake na akakielekeza?
- Twaa Haa
- al-Falaq
- al-Ghaashiyah
Ni Suurah gani inataja kuumbwa kwa jua kuwa kama taa?
- Nuuh
- al-Mutwaffifiyn
- al-Balad
Ni Suurah gani inaeleza kisa cha Nabii Swaalih kupewa ngamia kama muujiza?
- al-´Aswr
- al-A´raaf
- al-Naas
Ni Suurah ipi inataja kwamba Qur-aan ni nuru inayoongoza kwenye njia sahihi?
- al-Quraysh
- ash-Shuuraa
- al-Fiyl
Ni Suurah gani inasema kuwa Qur-aan iliteremshwa katika usiku wenye baraka?
- ad-Dukhaan
- al-Fajr
- al-Balad
Ni Suurah gani inataja kuwa Qur-aan ilishushwa kwa Kiarabu ili muelewe?
- Yuusuf
- al-Masad
- al-Mutwaffifiin
Ni Suurah gani inataja kuwa Qur-aan ni kielelezo cha huruma?
- an-Naml
- al-Mutwaffifiyn
- al-Fajr
Ni Suurah ipi inazungumzia mwanzo wa uumbaji wa binadamu kwa tone la maji?
- al-Muzzammil
- al-Mu’minuun
- al-Falaq
Ni Suurah gani inahusu Nabii Ilyasa´?
- Swaad
- al-Layl
- al-Muzzammil
Ni Suurah gani inataja kisa cha mtu aliyemiliki bustani mbili?
- al-Kahf
- al-´Aswr
- at-Takwiyr
Ni Suurah ipi inahusiana na kuteremshwa kwa Qur-aan kwa hatua hatua?
- al-Falaq
- at-Takwiyr
- al-Furqaan
Ni Suurah ipi inazungumzia tukio la Israa´ na Mi´raaj?
- al-Israa´
- al-Ghaashiyah
- al-Humazah
Ni Suurah gani inataja kisa cha Nabii Yuunus kuingia tumboni mwa samaki?
- asw-Swaaffaat
- al-Qaari´ah
- al-Buruuj
Ni Suurah gani inasema kuwa Qur-aan haina shaka ndani yake?
- al-Baqarah
- al-Naas
- al-Aadiyaat
Ni Suurah gani inahusu kisa cha Nabii Ayyuub na subira yake?
- Swaad
- al-Kawthar
- al-Bayyinah
Ni Suurah ipi inataja Aayah ya kukata mkono kwa mwizi?
- al-Ikhlaasw
- al-Ghaashiyah
- al-Maa´idah
Ni Suurah gani inazungumzia kuumbwa kwa mbingu saba kwa tabaka?
- al-Humazah
- al-Mulk
- al-Kaafiruun
Ni Suurah ipi inasimulia kuwa Allaah alimtuma Nabii Ilyaas kwa watu wake?
- al-Ma´uun
- al-Qaari´ah
- asw-Swaaffaat
Ni Suurah gani inahusu kutekwa kwa Nabii Yuusuf na kutupwa kisimani?
- al-Fiyl
- Yuusuf
- at-Takaathur
Ni Suurah ipi inahusu malipo ya waliochukua ribaa?
- al-Masad
- Aal ´Imraan
- al-Humazah
Ni Suurah gani inaeleza kisa cha Thaamuud na ngamia wa muujiza?
- al-Fajr
- al-Ghaashiyah
- ash-Shams