Jipime maarifa yako kuhusu Qur-aan
Chemsha Bongo kuhusu Qur-aan 03
15:00
Ni Suurah gani ambayo imeeleza ushahidi wa mbingu na ardhi kuwa Allaah ni wa haki?
- al-Fiyl
- Aal ´Imraan
- al-Falaq
Ni Suurah gani ambayo ni sawa na thuluthi ya Qur-aan?
- Yuunus
- al-Ikhlaasw
- al-Kaafiruun
Aayah kuhusu mwanaume kuruhusiwa kuoa wake wanne ipo wapi?
- at-Takwiyr
- an-Nisaa´
- al-Layl
Ni Suurah yenye Aayah nyingi kuhusu uumbaji?
- al-Mutwaffifiyn
- an-Nahl
- al-Balad
Ni Suurah gani imetaja Malaika Haaruwt na Maaruwt?
- al-Israa
- al-Humazah
- al-Baqarah
Tukio la Allaah kumwambia Nuuh kujenga safina lipo wapi?
- Huud
- al-Falaq
- at-Takwiyr
Aayah ya (Na hakika kwa kila mmoja kuna malaika walinzi) ipo wapi?
- at-Twaariq
- al-Kawthar
- al-Fiyl
Ni Suurah gani inayotaja kwamba kula mali ya yatima ni kula moto?
- al-‘Alaq
- an-Nisaa´
- at-Takaathur
Tukio la kufunguliwa bahari kwa Muusa liko wapi?
- ash-Shu´araa
- al-Maa´idah
- an-Nazi´aat
Ni Suurah gani inaeleza sababu ya kushuka Qur-aan hatua kwa hatua?
- al-Furqaan
- al-Buruuj
- al-Fiyl
Ni Suurah gani ambayo inataja kubisha hodi kabla ya kuingia?
- al-Faatihah
- al-Kawthar
- an-Nuur
Ni Suurah gani imetajwa (Shajara tul-mal´uunah)?
- al-Israa
- al-Muzzammil
- al-Ghaashiyah
Aayah ya maasi ya shaytwaan kwa Aadam iko wapi?
- al-Muzzammil
- al-Infitwaar
- al-Baqarah
Ni Suurah gani Qur-aan imetajwa kama shifaa na rahmah?
- al-Humazah
- al-Qaari´ah
- al-Israa
Ni Suurah yenye Aayah inayokataza kusema kwa dhana?
- al-Masad
- al-Hujuraat
- an-Naazi´aat
Aayah ya mume na mke kufanyiana huruma iko wapi?
- al-Maa’idah
- al-Muzzammil
- ar-Ruum
Aayah inayotaja kuvua nguo za Aadam na Hawwaa iko wapi?
- al-Kahf
- al-A´raaf
- al-Mutwaffifiyn
Tukio la Ibraahiym kuvunjavunja masanamu liko wapi?
- al-Anbiyaa´
- an-Nahl
- az-Zukhruf
Ni Suurah gani ambayo kila Aayah yake imetaja neno Allaah mwanzo hadi mwisho?
- al-´Alaq
- al-,Mujaadalah
- al-Qadr
Ni Suurah gani pekee inayotajwa wanyama kwa wingi?
- al-An´aam
- al-´Aswr
- al-Bayyinah
Aayah ya kuwataka waume kutoa zawadi ya ndoa ipo wapi?
- an-Nisaa´
- al-Fajr
- al-Qaari´ah
Aayah kuhusu kutohukumu kwa aliyoiteremsha Allaah ipo wapi?
- al-Kawthar
- al-Fajr
- al-Maa´idah