Jipime maarifa yako kuhusu Qur-aan
Chemsha Bongo kuhusu Qur-aan 02
15:00
Aayah ya kuomba ruhusa kabla ya kuingia ipo wapi?
- an-Nuur
- al-Falaq
- al-Kawthar
Ni Suurah gani imetaja mfano wa nyuki na faida zake?
- an-Nahl
- al-An’aam
- al-Nisaa´
Ni Suurah gani katika hizi inayoeleza juu ya kuzama kwa Fir´awn?
- al-‘Alaq
- Yuunus
- at-Takaathur
Ni Suurah gani inazungumzia wanadamu wameteremshiwa mavazi wafunike uchi wao?
- al-Mursalaat
- al-Kaaf
- al-A´raaf
Wana wa kiume wa Nabii Ya’quub walikuwa wangapi?
- 20
- 12
- 10
Ni Suurah gani inaitwa jina la mwanamke?
- Zaynab
- Maryam
- Aasiyah
Ni nani aliyetajwa kuwa aliletewa chakula kutoka kwa Allaah akiwa mwenye mihrabu?
- Zaynab
- Maryam
- Asiyah
Ni nani aliyetajwa kuwa alifanya kazi ya kutengeneza silaha?
- Sulaymaan
- Yuusuf
- Daawuud
Ni Suurah gani inazungumzia historia ya Nabii Shu’ayb?
- Huud
- al-Hajj
- al-Bayyinah
Ni Suurah gani Qur-aan ilianza kuteremshwa?
- al-´Alaq
- an-Naas
- al-Qadr
Ni Suurah gani inasimulia maangamizi ya Qawm ‘Aad?
- al-Haaqqah
- al-Ahqaaf
- al-Kawthar
Ni Suurah gani inazungumzia viumbe wa baharini na kuruhusu kula vilivyokufa humo?
- al-Maa’idah
- al-Muzzammil
- al-Ikhlaasw
Aayah ya nuru (Allaah nuru ya mbingu na ardhi) ipo wapi?
- al-An´aam
- an-Nuur
- al-Hajj
Tukio la kuanguka Saamiriy na ndama wake limetajwa wapi?
- Maryam
- al-Mujaadilah
- Twaa Haa
Aayah kuhusu kula, kunywa na kutofanya israfu iko wapi?
- al-Maa´idah
- al-A´raaf
- al-´Alaq
Ni Suurah gani sehemu yake ya mwanzo ina simulizi ya uumbaji wa mwanadamu kwa hatua?
- al-Mu’minuun
- az-Nazi’aat
- al-Falaq
Aayah kuhusu kulinda sehemu za siri na kuteremsha macho chini ipo wapi?
- al-Faatihah
- al-Kawthar
- an-Nuur
Ni Suurah gani Allaah anasema kuwa haoni haya kupiga mfano wa mbu?
- al-Insaan
- Huud
- al-Baqarah
Ni nani aliyetajwa kuwa alifufua wafu kwa idhini ya Allaah?
- ‘Iysaa
- Ibraahiym
- Yuusuf
Ni Suurah gani ina Aayah kuhusu kuacha maasi ya ushoga?
- al-A’raaf
- Huud
- az-Nazi’aat
Ni Suurah gani inazungumzia usiku wenye cheo?
- Yuunus
- al-Qadr
- al-Kaafiruun
Ni Suurah pekee ambayo swalah haikubaliwi bila kuisoma?
- al-Baqarah
- al-Faatihah
- al-Ikhlaasw