Jipime maarifa yako kuhusu Mitume na Manabii

Chemsha Bongo kuhusu Mitume na Manabii 05

15:00

Qur-aan iliteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa muda wa miaka mingapi?

  • 20

Mtume Yuusuf alipelekwa wapi baada ya kuuzwa?

  • Yeman

Mtume Muhammad alisafiri kwa safari ya Israa´ na Mi’raaj kutoka wapi hadi wapi?

  • Twaa-if hadi Yemen

Mtume Muhammad aliweka mkataba wa Hudaybiyah na kabila gani?

  • Aws

Mtume Muhammad alihama kutoka Makkah kwenda wapi?

  • Madiynah

Mtume ´Iysaa alizaliwa bila baba kwa uwezo wa nani?

  • Zakariyaa

Mtume Luutw alitumwa kwa watu waliotenda nini?

  • Ushoga

Ni Mtume gani ambaye aliwaswalisha Mitume wengine katika safari yake ya Israa´ na Mi´raaj?

  • Muhammad

Ni Mtume gani ambaye katika zama zake walikuwa wakiua watoto wa kiume na kuacha wa kike?

  • Muusa

Ni Mtume gani ambaye alipewa changamoto ya kuteremsha chakula kutoka mbinguni?

  • Yuunus

Ni Mtume gani ambaye alipewa changamoto ya kuchomoza jua magharibi na kulizamisha mashariki?

  • Ibraahiym

Mtume ambaye alikuwa mtoto wa Mtume Ibraahim ni nani?

  • Yuusuf

Ni Mtume gani ambaye alipewa changamoto na washirikina ya kupasua mwezi?

  • Swaalih

Ni Mtume gani ambaye alifungwa jela baada ya kukataa kufanya uzinzi na mke wa mfalme?

  • Swaalih

Ni nani mama yake na ´Iysaa?

  • ´Aasiyah

Mtume Muhammad alikuwa na watoto wangapi wa kike?

  • 10

Ni Mtume gani bora kwa utukufu baada ya Muhammad?

  • Nuuh

Ni Mtume gani ambaye alipewa mtihani wa kumchinja mwanae?

  • Muhammad

Ni Mtume gani ambaye ndugu zake walimtia ndani ya kisima?

  • Yuusuf

Mtume Ibrahim alijaribiwa kwa kumuacha mtoto wake wapi?

  • Makkah

Mtume Muhammad alizikwa wapi?

  • Twaa-if

Mtume aliyepasua mwezi kwa idhini ya Allaah ni nani?

  • Muusa