Swali: Umesema kuwa warejelewe ma-Qaadhiy katika masuala ya Talaka. Yapi maoni yako ikiwa baadhi ya ma-Qaadhiy hawafahamu masuala ya Talaka na ni nani atakayerejelewa?
Jibu: Sidhani kama kutakuwepo Qaadhiy asiyefahamu masuala ya Talaka. Hawi Qaadhiy isipokuwa yule anayefahamu masuala ya Talaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/2926
- Imechapishwa: 23/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)