Swali: Hivi sasa watu wengi siku ya ijumaa wanatumiana meseji ”Nawatakia ijumaa yenye baraka (جمعة مباركة)”. Unasemaje juu ya hili?
Jibu: Wamepata njia za mawasiliano ambapo wanaagiziana vitu vilivyowekwa katika Shari´ah na ambavyo havikuwekwa – hawajali.
Swali: Kwa hivyo unamaanisha kuwa meseji hizi hazikuwekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hazina msingi.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=kJ942xB4o5M&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 02/03/2019
Swali: Hivi sasa watu wengi siku ya ijumaa wanatumiana meseji ”Nawatakia ijumaa yenye baraka (جمعة مباركة)”. Unasemaje juu ya hili?
Jibu: Wamepata njia za mawasiliano ambapo wanaagiziana vitu vilivyowekwa katika Shari´ah na ambavyo havikuwekwa – hawajali.
Swali: Kwa hivyo unamaanisha kuwa meseji hizi hazikuwekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hazina msingi.
Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=kJ942xB4o5M&feature=youtu.be
Imechapishwa: 02/03/2019
https://firqatunnajia.com/pongezi-za-ijumaa-hazina-msingi-wowote/