33 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu Hadiyth inayosema:
“Yule mwenye kunywa pombe duniani hataifanywa Aakhirah.”
Vipi ikiwa mtu huyo alikufa juu ya Tawhiyd?
Jibu: Anaweza kuingia Peponi bila ya kuinywa. Kwa vyovyote vile hii ni miongoni mwa Hadiyth za matishio ambayo inatufaidisha makemeo. Kuna uwezekano vilevile Allaah akamsamehe na hivyo akaingia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 37
- Imechapishwa: 26/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
33 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu Hadiyth inayosema:
“Yule mwenye kunywa pombe duniani hataifanywa Aakhirah.”
Vipi ikiwa mtu huyo alikufa juu ya Tawhiyd?
Jibu: Anaweza kuingia Peponi bila ya kuinywa. Kwa vyovyote vile hii ni miongoni mwa Hadiyth za matishio ambayo inatufaidisha makemeo. Kuna uwezekano vilevile Allaah akamsamehe na hivyo akaingia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 37
Imechapishwa: 26/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/pombe-kwa-mtu-aliyekufa-juu-ya-tawhiyd/