Swali: Nilikuwa safarini na nikafanya Tayammum kwa ajili ya swalah pigo moja tu na kwa mkono mmoja tu. Je, swalah yangu ni sahihi au niirudi tena?
Jibu: Sunnah unatakiwa upige kwa mikono yote miwili. Kilicho salama zaidi katika hili ni wewe kuirudi swalah yako. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfunza ´Imraan akamwabia:
“Upige mikono yako namna hii.”
ambapo akapiga kwa mikono yake juu ya ardhi pigo moja. Ni lazima kupiga kwa mikono yote miwili kisha ufute uso na viganja viwili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2018
Swali: Nilikuwa safarini na nikafanya Tayammum kwa ajili ya swalah pigo moja tu na kwa mkono mmoja tu. Je, swalah yangu ni sahihi au niirudi tena?
Jibu: Sunnah unatakiwa upige kwa mikono yote miwili. Kilicho salama zaidi katika hili ni wewe kuirudi swalah yako. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfunza ´Imraan akamwabia:
“Upige mikono yako namna hii.”
ambapo akapiga kwa mikono yake juu ya ardhi pigo moja. Ni lazima kupiga kwa mikono yote miwili kisha ufute uso na viganja viwili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 11/11/2018
https://firqatunnajia.com/pigo-moja-katika-tayammum-ni-sahihi/