Swali: Mwanamke huyu anauliza afanye nini juu ya pesa alizochuma kwa njia ya Bid´ah?
Jibu: Ajikwamue nazo kwa kuziweka katika mambo ya kijamii au azigawe kwa wahitaji kwa lengo la kujikwamua nazo na si kwa njia ya swadaqah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Mwanamke huyu anauliza afanye nini juu ya pesa alizochuma kwa njia ya Bid´ah?
Jibu: Ajikwamue nazo kwa kuziweka katika mambo ya kijamii au azigawe kwa wahitaji kwa lengo la kujikwamua nazo na si kwa njia ya swadaqah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/pesa-ambazo-mtu-amechuma-kwa-njia-ya-bidah-azifanye-nini/