Swali: Nimeuza ardhi na tukaafikiana juu ya bei. Pesa nitazilipa baada ya mwaka mmoja. Ni lini napaswa kutoa zakaah juu ya ardhi hii?
Jibu: Mwaka mmoja baada ya kuandika mkataba. Muda unaanza kuhesabiwa pale kunapoandikwa mkataba. Pindi kunapotimia mwaka mmoja wa mkataba ndipo unatakiwa kutoa zakaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2019
Swali: Nimeuza ardhi na tukaafikiana juu ya bei. Pesa nitazilipa baada ya mwaka mmoja. Ni lini napaswa kutoa zakaah juu ya ardhi hii?
Jibu: Mwaka mmoja baada ya kuandika mkataba. Muda unaanza kuhesabiwa pale kunapoandikwa mkataba. Pindi kunapotimia mwaka mmoja wa mkataba ndipo unatakiwa kutoa zakaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 06/10/2019
https://firqatunnajia.com/pale-kulipoandikwa-mkataba/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket