Swali: Mwenye kuswali akiwa na shaka kama amesujudu sijda mara moja au mbili katika Rak´ah miongoni mwa Rak´ah afanye nini?
Jibu: Ni wajibu kwake kufanya kile anachokitilia shaka na baada ya hapo ni wajibu kwake kusujudu sijda ya kusahau.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 04/04/2018
Swali: Mwenye kuswali akiwa na shaka kama amesujudu sijda mara moja au mbili katika Rak´ah miongoni mwa Rak´ah afanye nini?
Jibu: Ni wajibu kwake kufanya kile anachokitilia shaka na baada ya hapo ni wajibu kwake kusujudu sijda ya kusahau.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 04/04/2018
https://firqatunnajia.com/nimesujudu-sujuud-moja-au-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket