Swali: Je, mtu anapozuru kaburi, anatakiwa akielekee Qiblah?
Jibu: Kilicho bora ni kusimama upande wa uso wa aliyekufa kama ikiwezekana, si lazima kuelekea Qiblah. Bora ni kusimama mbele ya uso wake kama vile ungemtembelea akiwa hai na ungekuwa ukimkabili. Hii ndiyo njia nzuri zaidi ikiwa inawezekana. Lakini ikiwa haitawezekana, basi simama upande wowote utoe salamu na inatosha. Hata kama utapita kati ya makaburi, ukawapa wote sakamu kisha ukaendelea na safari yako, inatosha.
Swali: Vipi kama ninataka kumuombea du´aa?
Jibu: Mwombee du´aa na wewe huku ukitembea.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1126/هل-استقبال-القبلة-شرط-عند-زيارة-القبر
- Imechapishwa: 30/01/2026
Swali: Je, mtu anapozuru kaburi, anatakiwa akielekee Qiblah?
Jibu: Kilicho bora ni kusimama upande wa uso wa aliyekufa kama ikiwezekana, si lazima kuelekea Qiblah. Bora ni kusimama mbele ya uso wake kama vile ungemtembelea akiwa hai na ungekuwa ukimkabili. Hii ndiyo njia nzuri zaidi ikiwa inawezekana. Lakini ikiwa haitawezekana, basi simama upande wowote utoe salamu na inatosha. Hata kama utapita kati ya makaburi, ukawapa wote sakamu kisha ukaendelea na safari yako, inatosha.
Swali: Vipi kama ninataka kumuombea du´aa?
Jibu: Mwombee du´aa na wewe huku ukitembea.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1126/هل-استقبال-القبلة-شرط-عند-زيارة-القبر
Imechapishwa: 30/01/2026
https://firqatunnajia.com/ni-wapi-anaposimama-anayemuombea-maiti-kaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket