Swali: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kulinganisha kufunga siku tatu kila mwezi ni sawa na kufunga mwaka mzima?
Jibu: Thawabu ni kwa kila wema kulipwa mara kumi, si kwa kulinganisha kazi ya kufunga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
- Imechapishwa: 03/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kulinganisha kufunga siku tatu kila mwezi ni sawa na kufunga mwaka mzima?
Jibu: Thawabu ni kwa kila wema kulipwa mara kumi, si kwa kulinganisha kazi ya kufunga.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
Imechapishwa: 03/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-sawa-kithawabu-na-si-kimatendo/