Swali: Je, inajuzu kuswali kwa kuvaa flana ikiwa sehemu kubwa ya mabega iko wazi?
Jibu: Kufunika mabega sio wajibu. Imaam Ahmad peke yake ndiye anaonelea hivo katika moja ya mapokezi yake. Vinginevyo sio wajibu. Muda wa kuwa amefunika viungo vyake vya siri sio lazima kwake kufunika mabega yake. Kikosi cha wanazuoni wengi wanaonelea tu kuwa ni jambo limependekezwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 30/03/2017
Swali: Je, inajuzu kuswali kwa kuvaa flana ikiwa sehemu kubwa ya mabega iko wazi?
Jibu: Kufunika mabega sio wajibu. Imaam Ahmad peke yake ndiye anaonelea hivo katika moja ya mapokezi yake. Vinginevyo sio wajibu. Muda wa kuwa amefunika viungo vyake vya siri sio lazima kwake kufunika mabega yake. Kikosi cha wanazuoni wengi wanaonelea tu kuwa ni jambo limependekezwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 30/03/2017
https://firqatunnajia.com/ni-sahihi-kuswali-na-flana/