Swali: Mwenye kusema kwamba jambo la kuamrisha mema na kukataza maovu ni upuuzi mtupu. Je, maneno haya yanazingatiwa ni kufuru?
Jibu: Hapana, hakuzingatiwa ni kufuru. Abainishiwe kuwa ni kosa. Abainishiwe kuwa ni maneno ya kimakosa, kwamba ni maneno yasiyokuwa sahihi na kwamba si mambo ya kipuuzi. Huu ni ujinga. Anatakiwa kubainishiwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 114
- Imechapishwa: 09/08/2019
Swali: Mwenye kusema kwamba jambo la kuamrisha mema na kukataza maovu ni upuuzi mtupu. Je, maneno haya yanazingatiwa ni kufuru?
Jibu: Hapana, hakuzingatiwa ni kufuru. Abainishiwe kuwa ni kosa. Abainishiwe kuwa ni maneno ya kimakosa, kwamba ni maneno yasiyokuwa sahihi na kwamba si mambo ya kipuuzi. Huu ni ujinga. Anatakiwa kubainishiwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 114
Imechapishwa: 09/08/2019
https://firqatunnajia.com/ni-mjinga-anayetakiwa-kubainishiwa/