Swali: Baadhi ya wanafunzi wanajengea hoja Hadiyth ya Saalim (´alayhis-Salaam) juu ya kumnyonyesha mtu mkubwa na kwamba kunatakasa. Vipi linajibiwa hilo?

Jibu: Hilo ni maalum kwa Saalim, ndivo walivosema wanazuoni wengi. Hakuna wanaosema kuwa kumnyonyesha mtu mkubwa kunatakasa isipokuwa wanazuoni wachache.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
  • Imechapishwa: 21/08/2023