Swali: Vipi kuhusu ambaye amesema kuwa bora ni du´aa katika swalah ya Istikhaarah iwe kabla ya salamu kuliko baada ya salamu?
Jibu: Imekuja katika Hadiyth:
”… aswali Rak´ah mbili, kisha aseme… ”
Kwa hivyo du´aa inakuwa baada ya kuswali Rak´ah mbili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25310/هل-يكون-دعاء-الاستخارة-قبل-السلام-ام-بعده
- Imechapishwa: 27/02/2025
Swali: Vipi kuhusu ambaye amesema kuwa bora ni du´aa katika swalah ya Istikhaarah iwe kabla ya salamu kuliko baada ya salamu?
Jibu: Imekuja katika Hadiyth:
”… aswali Rak´ah mbili, kisha aseme… ”
Kwa hivyo du´aa inakuwa baada ya kuswali Rak´ah mbili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25310/هل-يكون-دعاء-الاستخارة-قبل-السلام-ام-بعده
Imechapishwa: 27/02/2025
https://firqatunnajia.com/ni-lini-inasomwa-duaa-ya-isitkhaarah/