Swali: Allaah amenineemesha neema kubwa ambayo ni kudhibiti swalah ya Fajr. Ninao ndugu wadogo ambao daima hufanya bidii waswali msikitini wote isipokuwa mmoja peke yake ambaye hajabaleghe. Wakati fulani hupitwa na Rak´ah moja ya swalah kwa sababu ya kuwatoa nje ya nyumba. Je, nina dhambi ikiwa sikuwaamrisha wakaswali?
Jibu: Ni lazima kwako kuwaamsha. Lakini unapaswa kuyatanguliza hayo mapema kidogo ili usipitwe na swalah. Tanguliza mapema kidogo kwa kiwango cha usipitwe na kitu katika swalah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 16/10/2020
Swali: Allaah amenineemesha neema kubwa ambayo ni kudhibiti swalah ya Fajr. Ninao ndugu wadogo ambao daima hufanya bidii waswali msikitini wote isipokuwa mmoja peke yake ambaye hajabaleghe. Wakati fulani hupitwa na Rak´ah moja ya swalah kwa sababu ya kuwatoa nje ya nyumba. Je, nina dhambi ikiwa sikuwaamrisha wakaswali?
Jibu: Ni lazima kwako kuwaamsha. Lakini unapaswa kuyatanguliza hayo mapema kidogo ili usipitwe na swalah. Tanguliza mapema kidogo kwa kiwango cha usipitwe na kitu katika swalah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 16/10/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwako-kuwaamsha-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)