142- Nilimsomea baba yangu:
“Je, ni lazima kwa msilimu kuoga?”
Akajibu:
“Ndio.”
Nilimuuliza:
“Na ikiwa alioga kabla ya kusilimu?”
Akajibu:
“Hapana. Analazimika kuingia katika Uislamu kwanza ndio aoge baadaye.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/113)
- Imechapishwa: 07/02/2021
142- Nilimsomea baba yangu:
“Je, ni lazima kwa msilimu kuoga?”
Akajibu:
“Ndio.”
Nilimuuliza:
“Na ikiwa alioga kabla ya kusilimu?”
Akajibu:
“Hapana. Analazimika kuingia katika Uislamu kwanza ndio aoge baadaye.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/113)
Imechapishwa: 07/02/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-msilimu-kuoga/