Swali: Je, adhaana zikikariri kwa kukariri waadhini nimuitikia kila mmoja wao?
Jibu: Ndio, itikia wakikariri. Akiadhini muadhini muitikie na akiadhini muadhini mwingine muitikia hata kama watakuwa ni waadhini mia moja.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 13/04/2019
Swali: Je, adhaana zikikariri kwa kukariri waadhini nimuitikia kila mmoja wao?
Jibu: Ndio, itikia wakikariri. Akiadhini muadhini muitikie na akiadhini muadhini mwingine muitikia hata kama watakuwa ni waadhini mia moja.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 13/04/2019
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuitikia-adhaana-nyingi-wakati-mmoja/