Swali: Kuhusu du´aa ni lazima anyanyue mikono yake baina ya adhaana na Iqaamah au amwombe tu Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)?
Jibu: Kuinua mikono ni miongoni mwa sababu za kukubaliwa du´aa. Lakini katika sehemu ambazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuinua mikono yake, haifai kuinua. Hakuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiinua mikono yake baada ya kumaliza swalah za faradhi, katika Khutbah ya ijumaa wala Khutbah ya ´Iyd. Lakini katika kuomba mvua alikuwa akiinua mikono yake. Vivyo hivyo katika Khutbah ya ijumaa ikiwa anaomba mvua. Hali kadhalika katika du´aa nyinginezo. Ama katika swalah za faradhi hakuwahi (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiinua mikono baada ya kumaliza, baina ya sijda mbili wala mwishoni mwa Tashahhud.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31199/هل-يلزم-رفع-اليدين-عند-الدعاء
- Imechapishwa: 11/10/2025
Swali: Kuhusu du´aa ni lazima anyanyue mikono yake baina ya adhaana na Iqaamah au amwombe tu Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)?
Jibu: Kuinua mikono ni miongoni mwa sababu za kukubaliwa du´aa. Lakini katika sehemu ambazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuinua mikono yake, haifai kuinua. Hakuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiinua mikono yake baada ya kumaliza swalah za faradhi, katika Khutbah ya ijumaa wala Khutbah ya ´Iyd. Lakini katika kuomba mvua alikuwa akiinua mikono yake. Vivyo hivyo katika Khutbah ya ijumaa ikiwa anaomba mvua. Hali kadhalika katika du´aa nyinginezo. Ama katika swalah za faradhi hakuwahi (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiinua mikono baada ya kumaliza, baina ya sijda mbili wala mwishoni mwa Tashahhud.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31199/هل-يلزم-رفع-اليدين-عند-الدعاء
Imechapishwa: 11/10/2025
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuinua-mikono-juu-wakati-wa-kuomba-duaa/