Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuharibu swawm yake ya wajibu kwa sababu ya kiu?
Jibu: Hukumu kwa yule ambaye analazimika kufunga swawm ya wajibu, ni mamoja iwe Ramadhaan, ya kulipa, kafara au fidia, ni haramu kwake kuiharibu swawm hii. Lakini kiu kikifikia kiwango cha yeye kuchelea kupatwa na madhara au maangamivu, basi itakuwa inajuzu kwake kukata swawm na wala hakuna neno. Haijalishi kitu hata kama ni katika Ramadhaan. Endapo atafikia kiwango cha yeye kuchelea kupatwa na madhara au maangamivu, basi itakuwa inajuzu kwake kukata swawm.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/202)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuharibu swawm yake ya wajibu kwa sababu ya kiu?
Jibu: Hukumu kwa yule ambaye analazimika kufunga swawm ya wajibu, ni mamoja iwe Ramadhaan, ya kulipa, kafara au fidia, ni haramu kwake kuiharibu swawm hii. Lakini kiu kikifikia kiwango cha yeye kuchelea kupatwa na madhara au maangamivu, basi itakuwa inajuzu kwake kukata swawm na wala hakuna neno. Haijalishi kitu hata kama ni katika Ramadhaan. Endapo atafikia kiwango cha yeye kuchelea kupatwa na madhara au maangamivu, basi itakuwa inajuzu kwake kukata swawm.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/202)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-mfungaji-kukata-swawm-yake-kwa-sababu-ya-kiu-kingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)